Jacob Joash Ocholla profile Pastor
Biography
Mimi jacob joash ochola nilizaliwa katika kijiji cha Izumachele wilayani geita ,mkoa wa geita, baada ya kumaliza elimu ya msingi mwaka 1989.Nilijiunga na chuo cha biblia cha Katungulu mwaka 1996-2000. Baada ya kuhitimu masomo ya chuo cha biblia nilianza kumtumikia Mungu kama mwinjilisti katika maeneo mbalimbali kama vile Kalibeze sengerema, Utegi Mara, Sirari na Musoma, na mwaka 2008 nilikwenda chuo cha uchungaji cha Bwiru Mwanza .Nina mke na watoto wanne(4), wakike wawili na wakiume wawili.