Paul Doto Kasheto profile Pastor
Biography
Nilianza kazi ya bwana mwaka 1985,nilipomjua Yesu kuwa ni bwana na mwokovu wangu toka katika kijiji cha Jimondoli mkoa wa shinyanga, chuo cha biblia Katungulu 1991, NTC 2004, uinjilisti-Kibara,uchungaji-Majita,Kazilankanda 2004-2008, Nansio2008-2014, Musoma 2014 makamu (mch msaidizi wa askofu-MMD), nina watoto wanne ,Daniel,Erasto,Tezira na Dorice.