//social-icons

Ufunguzi Wa Kanisa La Kalunde AICT Tabora photos

Ufunguzi Wa Kanisa La Kalunde AICT Tabora
Hili ndilo kanisa letu Maeneo ya nje ya kanisa Tusimame pamoja hili ndilo kanisa Askofu Silas Kezakubi akichukua picha na waaumini Tukio la picha kwa pamoja likiendelea Wakiendelea kuchukua picha Askofu akiendelea kuchukua picha na waumini Wakinamama na watoto wakichukua picha Waumini wakichukua picha
Ufunguzi wa Kanisa la kiinjilisti la Kalunde lilifunguliwa na Askofu Mkuu Silasi Kezakubi tarehe 12/5/2013. Kanisa hili lilianzishwa na Mchungaji Joseph Ipimilo wa Pastorati ya Ipuli Tabora Mjini. Kanisa la Kalunde lipo Uyui nje kidogo ya Tabora mjini.