//social-icons

UFUNGUZI WA MADARASA NA OFISI YA CHUO CHA UUGUZI KOLANDOTO. photos

UFUNGUZI WA MADARASA NA OFISI YA CHUO CHA UUGUZI KOLANDOTO.
Shughuli ya kuweka jiwe la msingi la majengo ya Chuo cha uuguzi Kolandoto ikitaka kuanza. Maandalizi yakiendelea. Askofu Mkuu, akikata utepe, tayari kwa kuweka jiwe la msingi. Askofu Mkuu akielekea kufungua jiwe la msingi. Askofu Mkuu, akiweka rasmi jiwe la msingi. Shughuli ya ufunguzi ikiendelea. Shughuli ya ufunguzi ikikamilika. Wahitimu wa mafunzo ya unesi. Baada ya kuweka jiwe la msingi. Jiwe la msingi baada ya uzinduzi. Jiwe la msingi. Ndani ya moja ya darasa jipya. Darasa jipya. Wakitoka inje ya darasa baada ya ufunguzi rasmi. Moja ya darasa la uuguzi linavyoonekana kwa ndani. Jinsi madarasa yanavyoonekana kwa inje. Zoezi la kupanda miti likianza. Zoezi likiendelea Zoezi la upandaji miti likiendelea. Askofu Mkuu, akijiandaa kupanda mti. Zoezi likiendelea Askofu Mkuu akianza kupanda mti. Askofu Mkuu, akimalizia kupanda mti mbele ya madarasa yaliyofunguliwa rasmi. Katibu Mkuu akianza zoezi la kupanda mti. Katibu Mkuu akimalizia kupanda mti. Mwenyeketi wa bodi ya Afya, akianza kupanda mti. Mwenyeketi wa Bodi, akimalizia kupanda mti. Viongozi, wahitimu na watu mbalimbali wakiwa wamekusanyika mbele ya jengo baada ya shughuli ya kufun
Ufunguzi wa madarasa na ofisi ya chuo cha uuguzi AICT Kolandoto, ulifanyika tarehe 31/10/2014 katika eneo la Chuo cha Uuguzi cha Kolondoto, dayosisi ya Shinyanga. Mgeni rasmi alikuwa Askofu Mkuu wa AICT Silas Kezakubi, ambaye alifuatana na Katibu Mkuu wa AICT Mch Zakayo Bugota. Uzinduzi ulihudhuliwa pia na viongozi wa Idara ya Afya kama vile Mwenyekiti wa Bodi, Mkurugenzi mkuu Dkt Shadrack Watugala, Mkuu wa Chuo cha uuguzi Kolandoto Ndg Daudi Malimi, pamoja na madkitari, wauguzi, waumini wa AICT na watu mbalimbali.