//social-icons

UTOAJI WA VYETI KWA WAHITIMU WA MAFUNZO YA UUGUZI KOLANDOTO. photos

UTOAJI WA VYETI KWA WAHITIMU WA MAFUNZO YA UUGUZI KOLANDOTO.
Wahitimu wa Mafunzo ya uuguzi. Wahitimu wakijipanga vizuri. Tukio likiendelea. Tukio likiwa bado linaendelea. Maandalizi yakiendelea. Wahitimu wakianza kutembea. Viongozi wakielekea kwenye jukwaa, tayari kuanza kukabidhi vyeti. Viongozi wakiongozwa na Askofu Mkuu, wakiendelea kuelekea jukwaani. Eneo ambalo mahafari hayo yalipofanyika. Hapa ndipo mahafari hayo, yalipofanyikia. Viongozi wakiwa wamekaa Jukwaani, tayari kwa kuanza kutoa vyeti. no caption Wahitimu wakiwa kwenye jukwaa lao. Shughuli ya kutoa vyeti, ikianza rasmi. Askofu Mkuu, akitoa vyeti. Tukio likiendelea. Tukio likiendelea. Tukio likiendelea. Tukio likiendelea. Tukio bado likiwa linaendelea. tukio likiendelea. Wahitimu wote, walipata vyeti baada ya kuhitimu mafunzo yao.
Mahafali ya kutoa vyeti kwa wahitimu wa Mafunzo ya uuguzi katika chuo cha Kolandoto yalifanyika tarehe 31/10/2014 Kolandoto Shinyanga. Vyeti vilitolewa na Askofu Mkuu, Silas Kezakubi kwa wahitimu wote wa mafunzo hayo. Sherehe hio ilihudhuriwa na Katibu Mkuu, Mwenyekiti wa bodi ya afya, Mkurugenzi wa Idara ya Afya, Mkuu wa Chuo, wafanyakazi, viongozi na watu mbalimbali.