//social-icons

Maaskofu wahudhuria mazishi ya Mzee Andrew Yohana Kinuno photos

Maaskofu wahudhuria mazishi ya Mzee Andrew Yohana Kinuno
Askofu Mkuu Kezakubi (kulia) akimsikiliza Askofu Nkola wote wakiwa kwenye msiba Askofu Mkuu Silas Kezakubi (kulia) akimtamblisha Askofu John K. Nkola ambaye yuko tayari kuhubi kwen Picha ya pamoja ya maaskofu pamoja na wake zao baada ya mazishi ya Mzee Andrew Kinuno
Askofu Mkuu Silas Kezakubi, ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tabora, na Askofu John Kanoni Nkola wa Dayosisi ya Shinyanga hivi karibuni walihudhuria ibada ya mazishi ya Mkristo mjini Tabora. Askofu John Kanoni Nkola alihuri katika mazishi hayo ya Mzee Andrew Yohana Kinuno ambaye alifariki tarehe 10-8-2015 na kuzikwa 12-8-2015. MzeeKinuno alikuwa mstari wa mbele katika shughuri nzima ya uanzishwaji wa AICT Dayosisi ya Tabora hapo 2006 na hivyo kuwa karibu sana na viongozi hao wa kanisa.